• HABARI MPYA

        Monday, January 11, 2021

        MAN CITY YASHINDA 3-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA ENGLAND


        NA mabao ya kipindi cha kwanza ya Bernardo Silva mawili na Phil Foden yaliipa mushindi wa 3-0 Manchester City dhidi ya Birmingham City katika mchezo wa raundi ya Nne Kombe la FA England Uwanja wa Etihad jana
         PICHA ZAIDI GONGA HAPA
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN CITY YASHINDA 3-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry