// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY YAPANDA KILELENI ENGLAND BAADA YA KUPIGA WEST BROM 5-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY YAPANDA KILELENI ENGLAND BAADA YA KUPIGA WEST BROM 5-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Wednesday, January 27, 2021

        MAN CITY YAPANDA KILELENI ENGLAND BAADA YA KUPIGA WEST BROM 5-0


        TIMU ya Manchester City imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion mabao ya Ilkay Gundogan mawili, Joao Cancelo, Riyad Mahrez na Raheem Sterling Uwanja wa The Hawthorns.
        Sasa Man City inaongoza Ligi Kuu kwa pointi moja zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Manchester United (41-40) baada ya wote kuheza mechi 19
         
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAN CITY YAPANDA KILELENI ENGLAND BAADA YA KUPIGA WEST BROM 5-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry