
Sunday, January 31, 2021

WENYEJI, Simba SC wametwaa taji la Simba Super Cup licha ya kulazimishwa sare ya 0-0 na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)...
ARSENAL YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA MAN UNITED EMIRATES
Sunday, January 31, 2021
WENYEJI, Arsenal wamelazimishwa sare ya 0-0 Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Emirates, London PICHA ZA...
MAN CITY YAICHAPA SHEFFIELD 1-0 NA KUZIDI KUPAA KILELENI ENGLAND
Sunday, January 31, 2021
BAO pekee la Gabriel Jesus dakika ya tisa akimalizia pasi ya Ferran Torres, jana liliipa ushindi wa 1-0 Manchester City dhidi ya Sheffield U...
MO DEWJI: DHAMIRA YETU NI KUTWAA TENA UBINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA NA MATAJI YOTE NCHINI
Sunday, January 31, 2021
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Mohammed 'Mo' Dewji amesema kwamba dhamira yao ni kutetea tena ubingwa wa Ligi Kuu ya...
Saturday, January 30, 2021
NYOTA MPYA WA YANGA SC, MRUNDI FISTON ABDUL RAZAK ALIVYOANZA KUJIFUA NA WENZAKE LEO DAR
Saturday, January 30, 2021
KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Fiston Abdul Razak akiwa mazoezini na timu yake mpya, Yanga SC siku moja baada ya kujiunga nayo...
SIMBA SC KUMENYANA NA DODOMA JIJI FEBRUARI 2 JAMHURI KABLA YA KUWAVAA AZAM FC FEBRUARI 7 DAR VIPORO VYA LIGI KUU
Saturday, January 30, 2021
MABINGWA watetezi, Simba SC watamenyana na Dodoma FC Februari 2 Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kabla ya kuwavaa Azam FC Februari 7, mwaka h...
PRINCE DUBE MPUMELELO APIGA MBILI AZAM FC YAICHAPA KMC 3-1 MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI
Saturday, January 30, 2021
AZAM FC imeibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es S...
MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA CHARLES BONIFACE MKWASA
Saturday, January 30, 2021
IBRAH CLASS ATWAA TAJI LA WBF BAADA YA KUMDUNDA MMALAWI
Saturday, January 30, 2021
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM BONDIA Ibrahim Mgendera ‘Ibrah Class’ amefanikiwa kutwaa ubingwa wa Mabara wa WBF uzito wa Super Light baa...
Friday, January 29, 2021
MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC, FISTON ABDUL RAZAK ALIVYOWASILI LEO DAR BAADA YA KUSAINI MKATABA WA MIEZI SITA
Friday, January 29, 2021
KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Fiston Abdul Razak baada ya kuwasili Dar es Salaam leo kujiunga na klabu ya Yanga kufuatia kusa...
AL HILAL YAZINDUKA NA KUICHAPA TP MAZEMBE 2-1 DAR MICHUANO YA SIMBA SUPER CUP
Friday, January 29, 2021
TIMU ya Al Hilal ya Sudan imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya TP Mazembe katika mchezo wa michuano maalum ya Simba Super Cup leo Uwanja wa B...
MBWANA SAMATTA NA MCHEZAJI MWENZAKE MPYA, OZIL WAKIJIANDAA NA MECHI YA LIGI KESHO UTURUKI
Friday, January 29, 2021
MSHAMBULIji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta (kushoto) akiwa na mchezaji mwenzake mpya Fenerbahce, kiungo Mjerumani, Mesut Ozil...
CARLOS CARLINHOS ANAVYOREJEA YANGA SC KAMA MPYA KUONGEZA NGUVU LALA SALAMA LIGI KUU
Friday, January 29, 2021
KIUNGO Muangola, Carlos Stenio Fernandes Guimaraes do Carmo, maarufu Carlinhos akiwa mazoezini na timu yake, Yanga SC kwenye kambi yao, Avic...
NYOTA WAWILI CHIPUKIZI WA TANZANIA WAENDA NCHINI TUNISIA KUJIUNGA NA KLABU YA LIGI KUU
Friday, January 29, 2021
WINGA wa Namungo FC, Abeid Athumani na mshambuliaji wa Azam FC, Paul Peter aliyekuwa anacheza kwa mkopo KMC FC wameondoka jana usiku kwenda ...
LIVERPOOL YAIPIGA SPURS 3-1 NA KUFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA
Friday, January 29, 2021
TIMU ya Liverpool imefufua matumaini ya ubingwa baada ya ushindi wa 3-1 jana dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England...
Thursday, January 28, 2021
SIMBA SC 4-1 AL HILAL (SIMBA SUPER CUP)
Thursday, January 28, 2021
MAN UNITED YACHAPWA 2-1 NA SHEFFIELD UNITED NYUMBANI
Thursday, January 28, 2021
MANCHESTER United jana wamepoteza nafasi ya kurejea kileleni katika Ligi Kuu ya England baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Sheffield United Uwan...
TAIFA STARS YATOLEWA CHAN BAADA YA SARE YA 2-2 NA GUINEA JIJINI DOUALA
Thursday, January 28, 2021
TANZANIA imetupwa nje ya Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 2-2 na Guinea usiku wa Jumatano katika mchezo wa mw...
TFF YASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA KUKUZA MIUNDOMBINU YA SOKA NA CHUO CHA UHASIBU MKOANI ARUSHA
Thursday, January 28, 2021
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia na Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Eliamani Sedokeya wakibadilishana mkata...
Wednesday, January 27, 2021
AFISA HABARI WA YANGA SC, HASSAN BUMBULI AFUNGIWA MIAKA MITATU KUJIBUSISHA NA SOKA NDANI NA NJE YA NCHI
Wednesday, January 27, 2021
AFISA Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa kujishughulisha na soka ndani na nje ya nchi kwa kipindi cha miaka mi tatu kwa tuh...
RAIS WA TFF, WALLACE KARIA APITISHWA KUGOMBEA UJUMBE WA BARAZA LA FIFA
Wednesday, January 27, 2021
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amepitishwa kugombea Ujumbe wa Baraza la Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).
YANGA SC YAMTAMBULISHA RASMI NIZAR KHALFAN SAMBAMBA NA KOCHA MPYA WA MAZOEZI YA VIUNGO
Wednesday, January 27, 2021
KLABU ya Yanga imemtambulisha Edem Mortotsi kuwa kocha wake mpya wa mazoezi ya viungo. Pia imemtambulisha rasmi mchezaji wake wa zamani, Niz...
MORRISON ATOKEA BENCHI NA KUFUNGA MABAO MAWILI SIMBA SC IKIICHAPA AL HILAL 4-1 DAR
Wednesday, January 27, 2021
WINGA Mghana, Bernard Morrison ametokea benchi na kufunga mabao mawili Simba SC ikiibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan katika...
ARSENAL YATOKA NYUMA NA KUICHAPA SOUTHAMPTON 3-1
Wednesday, January 27, 2021
TIMU ya Arsenal jana imetoka nyuma kwa bao la Stuart Armstrong na kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Southampton, mabao yake yakifungwa na Nicol...
MAN CITY YAPANDA KILELENI ENGLAND BAADA YA KUPIGA WEST BROM 5-0
Wednesday, January 27, 2021
TIMU ya Manchester City imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion mabao ya Il...
IBRAHIMOVIC AGOMBANA NA LUKAKU, INTER YAIPIGA MILAN 2-1
Wednesday, January 27, 2021
ZLATAN Ibrahimovic wa AC Milan jana alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 58 baada ya kugombana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Manchester...
Tuesday, January 26, 2021
AL HILAL YA SUDAN YAWASILI DAR KUWAVAA SIMBA SC KESHO MICHUANO YA SIMBA SUPER CUP
Tuesday, January 26, 2021
KIKOSI cha Al Hilal ya Sudan kimewasili nchini tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya wenyeji, Simba SC kwenye michuano maalum ya timu tatu, ny...
PULEV AWASILI NCHINI KUMSAPOTI MDOGO WAKE ANAPIGANA DAR
Tuesday, January 26, 2021
BONDIA nyota wa uzito wa juu duniani, Mbulgaria Kubrat Pulev amewasili Dar es Salaam leo kumsaidia mdogo wake, Tervel Pulev ambaye Ijumaa ...
SIMBA SC YASAJILI BEKI MPYA MZIMBABWE PETER MADUHWA KUTOKA HIGHLANDERS YA BULAWAYO
Tuesday, January 26, 2021
BEKI wa kimataifa wa Zimbabwe, Peter Muduhwa amejiunga na Simba SC kutoka Highlanders FC ya kwao, Bulawayo kuimarisha kikosi cha Wekundu wa ...
IHEFU SC YAMSAJILI KIUNGO WA ZAMANI WA YANGA SC, RAPHAEL DAUDI KAMA MCHEZAJI HURU
Tuesday, January 26, 2021
KIUNGO wa zamani wa Yanga SC, Rafael Daudi Loth amejunga na Ihefu SC ya Mbeya kama Mchezaji huru.
MSHAMBULIAJI MNIGERIA JUNIOR LOKOSA ASAINI MKATABA WA KUICHEZEA SIMBA SC LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Tuesday, January 26, 2021
KLABU ya Simba, mshambuliaji wa zamani wa Esperance ya Tunisia, Mnigeria Junior Lokosa kuongeza nguvu kikosi kuelekea hatua ya makundi ya L...
SAMATTA AENDELEZA MOTO WA MABAO FENERBAHCE YASHINDA 3-0 LIGI YA UTURUKI
Tuesday, January 26, 2021
MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao la pili dakika ya 51, timu yake Fenerbahce ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya...
Monday, January 25, 2021
BEKI ERASTO NYONI AREJESHWA NYUMBANI KUTOKA KAMBI YA TAIFA STARS NCHINI CAMEROON KWA SABABU ZA KIAFYA
Monday, January 25, 2021
BEKI Erasto Edward Nyoni amerejeshwa nyumbani kutoka kambi ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars huko Cameroon kwa sababu Kiafya. Nyoni,...
YANGA SC YAMTANGAZA MCHEZAJI WAKE WA ZAMANI NIZAR KHALFAN KUWA KOCHA MPYA MSAIDIZI WA MRUNDI KAZE
Monday, January 25, 2021
KLABU Yanga SC imemtangaza rasmi mchezaji wake wa zamani na kocha wa African Lyon, Nizar Khalfan kuwa kocha mpya Msaidizi wa Mrundi, Cedric ...
TANZANIA YAPANGWA KUNDI B AFCON U20 PAMOJA NA GAMBIA, MOROOCO NA GHANA
Monday, January 25, 2021
TANZANIA imepangwa Kundi C pamoja na Ghana, Gambia na Morocco katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika chini ya umri wa miaka 20 (AFCON ...
MSHAMBULIAJI MGHANA WA YANGA SC, MICHAEL SARPONG ASAIDIA YATIMA KWAO
Monday, January 25, 2021
MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Michael Sarpong wiki iliyopita alipata fursa ya kutoa msaada katika kituo cha Royal Seed Orphanage, kesho nchini G...
TRESSOR MPUTU NA THOMAS ULIMWENGU WAJA DAR KUSHIRIKI SUPER CUP YA SIMBA SC
Monday, January 25, 2021
KIKOSI kamili cha TP Mazembe kitakachokuja nchini kushiriki michuano ya Simba Super Cup inayotarajiwa kuanza Jumatano kikiongozwa na Mkongwe...
REFA MMOJA TU WA TANZANIA, TENA MSAIDIZI ATEULIWA KUCHEZESHA AFCON U20 MAURITANIA
Monday, January 25, 2021
ORODHA ya waamuzi walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 20, (AFCON U20) baadaye mw...
TAIFA STARS WAKIJIFUA KUJIANDAA KUIVAA GUINEA MECHI YA MWISHO KUNDI D CHAN 2021
Monday, January 25, 2021
WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa mazoezini kujiandaa na mchezo wa mwisho wa Kundi D Fainali za Ubingwa wa ...
KIUNGO MKONGO WA YAMGA SC, MUKOKO TONOMBE ATOA MISAADA KITUO CHA WATOTO YATIMA KINONDONI MKWAJUNI
Monday, January 25, 2021
KIUNGO wa Yanga SC, Mkongo Mukoko Tonombe jana alipata fursa ya kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika cha watoto yatima cha Maunga Centre ...
Subscribe to:
Posts (Atom)