• HABARI MPYA

        Thursday, November 19, 2020

        TANZANIA BARA YAPANGWA KUNDI A PAMOJA NA SOMALIA NA DJIBOUTI MICHUANO YA CECAFA U20

         

        TANZANIA imepangwa Kundi A pamoja na Somalia na Djibouti kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA U-20) kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 inayotarajiwa kuanza Novemba 22 hadi Desemba 2 Jijini Dar es Salaam. 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: TANZANIA BARA YAPANGWA KUNDI A PAMOJA NA SOMALIA NA DJIBOUTI MICHUANO YA CECAFA U20 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry