
Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania wakati wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jana kutoka Tunisia ambako Ijumaa walifungwa 1-0 na wenyeji wao hao katika mchezo wa Kundi J kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Uwanja wa Uwanja wa Hamadi Agrebi Olimpiki mjini Rades. Timu hizo zitarudiana kesho Saa 4:00 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment