• HABARI MPYA

        Thursday, November 19, 2020

        SIMBA SC WATOA JEZI NYINGINE MPYA TATU MAALUM KWA AJILI YA MICHUANO YA AFRIKA PEKEE

         

        KIUNGO Mghana wa Simba SC, Bernard Morrison akionyesha jezi mpya ya tatu ya klabu yake kwa ajili  ya michuano ya Afrika inayotarajiwa kuanza wiki ijayo, Wekundu wa Msimbazi wakifungua dimba na Plateau United nchini Nigeria katika Ligi ya Mabingwa

        Bernard Morrison akionyesha jezi mpya ya ugenini ya Simba SC kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa 

        Kiungo mzawa, Hassan Dilunga akionyesha jezi mpya ya nyumbani ya Simba SC kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SIMBA SC WATOA JEZI NYINGINE MPYA TATU MAALUM KWA AJILI YA MICHUANO YA AFRIKA PEKEE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry