• HABARI MPYA

        Friday, November 20, 2020

        SIMBA SC WALIVYOWASILI ARUSHA TAYARI KUWAKABILI COASTAL UNION KESHO SHEIKH AMRI ABEID

        Kiungo wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama akiteremka kwenye ndege baada ya kuwasili Kilimanjaro kabla ya kupanda basi kwenda Arusha jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid 

        Beki wa Simba SC, Muivory Coast, Serge wawa baada ya kuwasili Arusha jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid


        Kipa Aishi Manula akiteremka kwenye ndege baada ya kuwasili Kilimanjaro kabla ya kupanda basi kwenda Arusha 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SIMBA SC WALIVYOWASILI ARUSHA TAYARI KUWAKABILI COASTAL UNION KESHO SHEIKH AMRI ABEID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry