Kiungo wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama akiteremka kwenye ndege baada ya kuwasili Kilimanjaro kabla ya kupanda basi kwenda Arusha jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid


Kiungo wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama akiteremka kwenye ndege baada ya kuwasili Kilimanjaro kabla ya kupanda basi kwenda Arusha jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
0 comments:
Post a Comment