Mchezaji wa Ngorongoro Heroes Abdul Hamisi Suleiman akiwa na mpira baada ya kufunga mabao matatu dakika za 65,71 na 90 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Djibouti kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya CECAFA U20 leo Uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu mkoani Arusha. Mabao mengine ya Tanzania yalifungwa na Teps Theonasy dakika ya 52, Khelfin Hamdou dakika ya 82 na Kassim Haruna dakika ya 88, wakati la Djibouti limefungwa na Abdourahma Kamil dakika ya 14
Kingsley Braye was phenomenal against Dreams FC - Medeama coach Ibrahim
Tanko
-
Medeama SC head coach, Ibrahim Tanko, has praised striker, Kingsley Braye,
for his superlative performance against Dreams FC on Friday night.The
22-year-o...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment