Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo, akiwa safarini kuelekea nchini Afrika Kusini jana alfajiri, kufanyiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto alioumia kwenye mechi ya Ligi Kuu yaTanzania Bara dhidi ya Yanga Novemba 25. Mzimbabwe huyo atafanyiwa matibabu katika hospitali ya Vincent Pallotti Jijini Cape Town, ambako wachezaji wote wa Azam FC wamekuwa wakitibiwa hapo kwa ufanisi mkubwa.
Fabian Hurzeler refuses to criticise Lewis Dunk after Brighton captain
struggled in draw with Leicester
-
Fabian Hurzeler leapt to the defence of his captain Lewis Dunk after an
error-strewn performance from the 33 year-old Brighton captain who twice
let the le...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment