• HABARI MPYA

        Saturday, November 28, 2020

        MAHREZ APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA BURNLEY 5-0 ETIHAD


        Nyota wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za sita 22 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad, mabao mengine yakifungwa na Benjamin Mendy dakika ya 41 na Ferran Torres dakika ya 66
         

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: MAHREZ APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA BURNLEY 5-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry