Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Manchester United - Premier League: Live score, team news and
updates as the Magpies continue their push for a Champions League spot - as
Andre Onana is omitted and Harry Amass is in Ruben Amorim's starting XI
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle welcome Manchester United to St James' Park in the Premier
League.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment