Ntibazonkiza ndiye aliyeifungia Burundi bao pekee jana ikiilaza Tanzania 1-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
ALIYEIFUNGIA BAO PEKEE BURUNDI IKIILAZA STARS 1-0 JANA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA YANGA SC LEO
Ntibazonkiza ndiye aliyeifungia Burundi bao pekee jana ikiilaza Tanzania 1-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment