// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ALIYEIFUNGIA BAO PEKEE BURUNDI IKIILAZA STARS 1-0 JANA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA YANGA SC LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ALIYEIFUNGIA BAO PEKEE BURUNDI IKIILAZA STARS 1-0 JANA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA YANGA SC LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, October 12, 2020

    ALIYEIFUNGIA BAO PEKEE BURUNDI IKIILAZA STARS 1-0 JANA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA YANGA SC LEO


    Kiungo wa kimataifa wa Burundi, Said Ntibazonkiza akiwa ameshika jezi ya Yanga SC baada ya kusaini mkataba wa kujiunga na vigogo hao wa Tanzania leo Jijini Dar es Salaam akitokea FK Kaisar Kyzylorda ya Kazakhstan.
    Ntibazonkiza ndiye aliyeifungia Burundi bao pekee jana ikiilaza Tanzania 1-0 katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALIYEIFUNGIA BAO PEKEE BURUNDI IKIILAZA STARS 1-0 JANA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA YANGA SC LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top