• HABARI MPYA

        Friday, September 25, 2020

        YANGA SC WALIVYOWASILI MOROGORO LEO KWA AJILI YA MCHEZO NA MTIBWA SUGAR JUMAPILI UWANJA WA JAMHURI

        Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mkongo Tuisila Kisinda baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjino Morogoro mchana wa leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar Jumapili Uwanja wa Jamhuri mjini humo 


        Kipa Mkenya wa Yanga SC, Farouk Shikhalo baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjini Morogoro mchana wa leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar Jumapili Uwanja wa Jamhuri mjini humo 

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: YANGA SC WALIVYOWASILI MOROGORO LEO KWA AJILI YA MCHEZO NA MTIBWA SUGAR JUMAPILI UWANJA WA JAMHURI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry