Mshambuliaji Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 17 na 69 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Iceland kwenye mchezo wa Kundi la Pili Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stade Roi Baudouin Jijini Brussels. Mabao mengne ya Ubelgiji yamefungwa na Axel Witsel dakika ya 13, Dries Mertens dakika ya 50 na Jeremy Doku dakika ya 79, wakati la Iceland lilifungwa na Holmbert Fridjonsson dakika ya 10 PCHA ZAD GONGA HAPA
Rabbitohs great Nathan Merritt allegedly caught drink driving in Sydney at
more than three times over the legal limit
-
South Sydney Rabbitohs legend Nathan Merritt spent the night locked up
after allegedly being caught drink-driving in Sydney's inner west.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment