Serge Gnabry amefunga mabao matatu, mabingwa watetezi Bayern Munich wakiibuka na ushindi wa 8-0 dhidi ya Schalke 04 katika mchezo wa ufunguzi wa Bundesliga usiku wa Ijumaa Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Gnabry alifunga dakika ya nne, 47 na 59, wakati mabao mengine yamefungwa na Leon Goretzka dakika ya 19, Robert Lewandowski kwa penalti dakika ya 31, Thomas Muller dakika ya 69, Leroy Sane dakika ya 71 na Jamal Muisala dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Scintilating break' - Costigan scores Ireland opener
-
Amee-Leigh Costigan scores Ireland's first try in their Women's Six Nations
match with Scotland after a "scintilating break" at the Hive stadium in
Edinburgh.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment