Mshambuliaji Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Ufaransa bao la nne dakika ya 77 kwa penalti hilo likiwa bao lake la 40 timu yake ya taifa katika ushindi wa Ufaransa wa 4-2 dhidi ya Croatia usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa Ulaya Uwanja wa Stade de France Jijini Paris. Mabao mengne ya Ufaransa yamefungwa na Antoine Griezmann dakika ya 43, Dominik Livakovic dakika ya 45, Dayot Upamecano dakika ya 65, wakati ya Croatia yamefungwa na Dejan Lovren dakika ya 16 na Josip Brekalo dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
You ain't seen nothing yet, Arne's better than Klopp and Pep - Liverpool
manager's old boss lifts lid on what makes Dutchman tick ahead of title
coronation
-
DOMINIC KING IN ROTTERDAM: Jan Everse pulls out his phone and starts
scrolling. He wants to find a video he sent to his protege at the start of
what became...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment