
Wednesday, September 30, 2020

Wachezaji wa Yanga SC wakimpongeza kiungo Mkongo, Tonombe Mukoko baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 11 na 31 katika ushindi wa 2-0...
THOMAS ULIMWENGU ANAVYOFURAHIA MAISHA NA WACHEZAJI WENZAKE TP MAZEMBE LUBUMBASHI
Wednesday, September 30, 2020
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Ulmwengu (kulia) akifuraha na wachezaji wenzake baada ya mazoezi leo Jijini Lubumbashi, Jamh...
BOSI WA WAAMUZI AKIWPA DARASA MAREFA WA LIGI DARAJA LA PILI TANZANIA BARA LEO DAR
Wednesday, September 30, 2020
Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi ya Shrksho la Soka Tanzana (TFF), Soud Abdi akiwaelekeza waamuzi wa Ligi Daraja la Pili wakati wa kufunga se...
AZAM FC WAKIJIFUA KWA BIDII KUJIANDAA NA MCHEZO DHIDI YA KAGERA SUGAR JUMAPILI CHAMAZI
Wednesday, September 30, 2020
Kiungo Awesu Awesu akimtoka beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa katika mazoezi ya timu hiyo leo kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Ba...
SIMBA SC ILIVYOGAWA KADI KWA MASHABIKI WAKE LEO JIJINI DODOMA KUELEKEA MECHI NA JKT JUMAPILI
Wednesday, September 30, 2020
KLABU bingwa ya Tanzania, Simba leo imeendesha zoezi la kutoa kadi za mashabiki kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kwenye vitongoji vya Saba Saba ...
SPURS YAITOA CHELSEA KWA MATUTA, YAENDA ROBO FAINALI CARABAO
Wednesday, September 30, 2020
TIMU ya Tottenham Hotspur imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 5-4...
BEKI MKALI WA MABAO, LAMINE MORO AONGEZA MKATABA WA KUITUMIKIA YANGA SC HADI MWAKA 2023
Wednesday, September 30, 2020
Beki wa Yanga SC, Mghana Lamine Moro akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo, Hersi Said baada ya kusaini mkataba wa miaka miw...
RAIS WA TFF, KARIA AWAONYESHA ENEO LA KIGAMBONI WALIOSHINDA TENDA YA UJENZI WA VITUO VYA SOKA
Wednesday, September 30, 2020
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia akiwaonyesha eneo la Kigamboni Maofisa wa Kampuni ya Group Six International ambayo...
Tuesday, September 29, 2020
LIVERPOOL YATOKA NYUMA NA KUICHAPA ARSENAL 3-1 ANFIELD
Tuesday, September 29, 2020
Mshambuliaji Sadio Mane akishangila baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal kwenye mc...
Monday, September 28, 2020
TAIFA STARS KUCHEZA NA BURUNDI MECHI YA KIRAFIKI OKTOBA 11 UWANJA WA BENJAMIN MKAPA
Monday, September 28, 2020
TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi katika kalenda ya FIFA Oktoba 11 Uwanja ...
TAYLOR AMMALIZA KHONGSONG KWA KO NDANI YA SEKUNDE 161
Monday, September 28, 2020
Josh Taylor akiwa ameshika mikanda ya WBA na IBF baada ya kummaliza Apinun Khongsong kwa Knockout (KO) ndani ya sekunde 161 katika pambano l...
NI MIAMI HEAT NA LOS ANGELES LAKERS FAINALI NBA 2020
Monday, September 28, 2020
KATIKA Ligi ya mpira wa Kikapu Marekani, Miami Heat wametawazwa kuwa mabingwa wa Eastern Conference baada ya kuifunga Boston Celtics 125-113...
RONALDO AFUNGA MAWILI JUVENTUS YALAZIMISHA SARE NA ROMA 2-2
Monday, September 28, 2020
Mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifunga mabao yote Juventus ikilazimisha sare ya 2-2 na wenyeji, AS Roma katika...
SAMATTA AINGIA KIPINDI CHA PILI FENERBAHCE YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA GALATASARAY
Monday, September 28, 2020
Na Mwandishi Wetu, ISTANBUL MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa Jumapili ametokea benchi kipindi cha pili, ...
MTIBWA SUGAR 0-1 YANGA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Monday, September 28, 2020
BAYERN MUNCH YAFUMULIWA 4-1 NA HOFFENHEIM BUNDESLIGA
Monday, September 28, 2020
Wachezaji wa Hoffenheim wakipongezana kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya mabingwa watetezi, Bayern Munich kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa Juma...
ANSU FATI APIGA MBILI, MESSI MOJA BARCELONA YASHINDA 4-0 LA LIGA
Monday, September 28, 2020
Mshambuliaji kinda, Ansu Fati akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika ya 15 akimalizia pasi ya Jordi Alba na dakika ya...
JAMIE VARDY APIGA HAT TRICK LEICESTER YAITANDIKA MAN CITY 5-2
Monday, September 28, 2020
Mshambuliaji Jamie Vardy akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 37 kwa penalti, 54 na 58 kwa penalti katika ushi...
Sunday, September 27, 2020
YANGA SC WAENDELEZA USHINDI WA 1-0 LIGI KUU, WAICHAPA NA MTIBWA SUGAR LEO JAMHURI
Sunday, September 27, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM VIGOGO, Yanga SC wameendeleza staili yao ya ushindi mwembamba katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya leo...
RAMOS APIGA LA USHINDI REAL MADRID YAILAZA REAL BETIS 3-2
Sunday, September 27, 2020
Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 82 kwa penalti ikitoka nyuma na kuwalaza Real Beti...
SIMBA SC 3-0 GWAMBINA FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Sunday, September 27, 2020
Saturday, September 26, 2020
MEDDIE KAGERE, WAWA NA MUGALU WOTE WAFUNGA SIMBA SC YAITANDIKA GWAMBNA FC 3-0 DAR
Saturday, September 26, 2020
Na Mwandishi Wetu, SUMBAWANGA MABINGWA watetezi, Simba SC wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa G...
FERNANDES AFUNGA LA USHINDI MAN UNITED YAICHAPA BRIGHTON 3-2
Saturday, September 26, 2020
TIMU ya Manchester United imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Brighton & Hove Albion 3-2 jioni ya le...
PRINCE DUBE AFUNGA DAKIKA YA MWISHO AZAM YAICHAPA PRISONS 1-0 NA KUREJEA KILELENI LIGI KUU
Saturday, September 26, 2020
Na Mwandishi Wetu, SUMBAWANGA TIMU ya Azam FC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, waha...
SAMATTA MAZOEZINI NA KLABU YAKE MPYA, FENERBAHCE KUELEKEA MECHI NA MAHASIMU GALATASARAY KESHO
Saturday, September 26, 2020
Mshambuliaji mpya wa Fenerbahce akiwa mazoezini na timu yake hiyo mpya Jijini Istanbul nchini Uturuki baada ya kujiunga nayo kwa mkopo wa mw...
Friday, September 25, 2020
YANGA SC WALIVYOWASILI MOROGORO LEO KWA AJILI YA MCHEZO NA MTIBWA SUGAR JUMAPILI UWANJA WA JAMHURI
Friday, September 25, 2020
Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mkongo Tuisila Kisinda baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjino Morogoro mchana wa leo kwa ajili ya mch...
ANAYESEMA SAMATTA AMEFELI, SOKA IENDELEE KUWA MCHEZO WA WAZI
Friday, September 25, 2020
Na Agnatius Obel, DAR ES SALAAM MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amejiunga na Fenerbahce ya Uturuki kwa mkopo wa m...
MHILU AIPAA USHINDI WA KWANZA KAGERA SUGAR LIGI KUU, NAMUNGO NAYO YAIPIGA 1-0 MBEYA CITY
Friday, September 25, 2020
Na Mwandishi Wetu, BUKOBA TIMU ya Kagera Sugar imepata ushindi wa kwanza wa msimu baada ya kuichapa KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam 1-0 leo ...
SAMATTA AONDOKA ASTON VILLA, AJIUNGA NA FENERBAHCE YA UTURUKI KWA MKOPO WA MWAKA MMOJA
Friday, September 25, 2020
Na Mwandishi Wetu, ISTANBUL MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amejiunga na Fenerbahce ya Uturuki kwa mkopo wa mwak...
KINDA WA MIAKA 17 AIFUNGIA MAN CTY YAICHAPA BOURNEMOUTH
Friday, September 25, 2020
KINDA wa miaka 17, Liam Delap, mtoto wa kiungo wa zamani wa Stoke City, Rory akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza d...
LIVERPOOL YAISHINDILIA LINCOLN 7-2 NA KUSONGA MBELE CARABAO
Friday, September 25, 2020
Wachezaji wa Liverpool wakipongezana kwa ushindi wa 7-2 dhidi ya Lincoln City kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la Ligi England, maarufu...
BAYERN MUNICH WAIGONGA SEVILLA 2-1 NA KUTWAA UEFA SUPER CUP
Friday, September 25, 2020
Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia na taji la UEFA Super Cup baada ya ushindi wa 2-1 dhid- ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Puskas A...
Thursday, September 24, 2020
MTENDAJI MKUU WA SIMBA SC, BARBARA GONZALEZ AFIKA HADI MAKAO MAKUU YA CAF NA KUZUNGUMZA NA RAIS AHMAD
Thursday, September 24, 2020
Na Mwandishi Wetu, CAIRO OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Soka bar...
KIKOSI CHA AZAM FC KILIVYOWASILI SUMBAWANGA LEO KWA AJILI YA MCHEZO DHIDI YA TANZANIA PRISONS JUMAMOSI
Thursday, September 24, 2020
Kiungo Mzimbabwe wa Azam FC, Never Tigere baada ya kuwasili Sumbawanga, mkoani Rukwa, kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi...
TFF YAINGIA MKATABA NA MKANDARASI KWA AJILI YA KUJENGA VITUO VYA MAENDELEO YA SOKA DAR NA TANGA
Thursday, September 24, 2020
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzana (TFF), Wallace Karia (katikati) akiwa na Mkandarasi Yi Xiaobo wa kampuni ya Group Six International wakio...
ALIYESHINDA SHILINGI MILIONI 267 ZA JACKPOT YA SPORTPESA APANGA KUANZISHA BIASHARA KUBWA
Thursday, September 24, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KAMPUNI ya Michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania imemkabidhi mshindi wa Jackpot SportPesa, Lilian Ngito...
KAI HAVERTZ APIGA HAT TRICK CHELSEA YASHINDA 6-0 CARABAO CUP
Thursday, September 24, 2020
NAYO Chelsea ikaichapa Barnsley 6-0, mchezaji mpya aliyesajiliwa kwa Paun Milioni 89, Kai Havertz akifunga mabao matatu peke yake dakika ya ...
ARSENAL YAICHAPA LEICESTER 2-0 NA KUTINGA RAUNDI YA NNE CARABAO
Thursday, September 24, 2020
Wachezaji wa Arsenal wakipongezana baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City, mabao ya Christian Fuchs aliyejfunga dakika ya ...
Subscribe to:
Posts (Atom)