Serge Gnabry (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 18 na 33 to kabla ya Robert Lewandowski (katikati) kufunga la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 wa Bayern Munch dhidi ya Olympique Lyon kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade Jijini Lisbon, Ureno na sasa watakutana na Paris Saint-Germain katika fainali Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rivers’ crisis is all about protection of interests, not the populace
-Farah Dagogo
-
From Tony John, Port Harcourt Dr. Farah Dagogo was a former governorship
aspirant in the 2023 Rivers State election. He was at different times
member of ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment