Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr MAKES the weight for grudge showdown with Conor Benn on
Saturday night - coming in 0.6lbs under 170lbs limit
-
CHARLOTTE DALY: Both fighters were subject to a strict 170lb cap for the
fight-day weigh-in, part of a tightly negotiated agreement following the
collapse ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment