Bondia Muingereza Dillian Whyte akiwa chini baada ya kukutana na ngumi ya kushoto 'upper-cut' ya Mrusi, Alexander Povetkin katika raundi ya tano ya pambano la uzito wa juu leo ukumbi wa Matchroom Fight Camp, Brentwood, England. Povetkin ameshinda kwa KO raundi ya tano na sasa milango ipo wazi kwake kukutana na Tyson Fury anayeshikilia taji la WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Ghana youth star Gideon Mensah signs for Ljungskile SK in Sweden
-
Ghana ex-youth international Gideon Mensah's time at Varbergs BoIS has
officially come to a close as he embarks on a new adventure with Ljungskile
SK in Sw...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment