Kiungo mshambuliaji, Haroun Othman Chanongo akishangilia baada ya kuifungia Mtibwa Sugar bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza Dodoma Jiji FC 3-2 katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa CCM Gairo, Morogoro jioni ya leo. Mabao mengine ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Dickson Job dakika ya 42 na Boban Zilntusa dakika ya 67 kwa penalti, wakati ya Dodoma FC yalifungwa na Anuary Jabir dakika ya 15 na Dickson Ambundo dakika ya 25
From a Birmingham cult hero who started it all to an infamous Arsenal
failure: Mail Sport goes inside the boom or bust world of loan deals as
Aston Villa duo make big impact
-
MATT BARLOW: Good ones probably spring easily to mind because truly
impactful short-term loans are rare. Think of Jesse Lingard at West Ham
United in 2021 ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment