Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Robin Goodfellow's racing tips: Best bets for Thursday, March 27
-
Mail Sport's racing expert Robin Goodfellow delivers his tips for
Thursday's meetings at Wolverhampton, Warwick, Southwell and Chelmsford
City.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment