Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Rabbitohs great Nathan Merritt allegedly caught drink driving in Sydney at
more than three times over the legal limit
-
South Sydney Rabbitohs legend Nathan Merritt spent the night locked up
after allegedly being caught drink-driving in Sydney's inner west.
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment