Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Named: The leading candidate to succeed Warren Gatland as Wales' head coach
- and why he cannot join the team straight away
-
Cardiff coach Matt Sherratt took over on an interim basis for the rest of
the Six Nations Championship and he is likely to remain in charge against
Eddie J...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment