Mtanzania wa kwanza kucheza soka ya kulipwa Ulaya, kiungo mshambuliaji, Sunday Manara akimtoka beki wa timu pinzani wakati akiichezea SC Heracles ya Uholanzi. Manara mwenye umri wa miaka 67 sasa, aliichezea klabu hiyo kuanzia Desemba 1977 hadi Julai 1978 alipohamia SV St. Veit ya Austria, New York Eagles ya Marekani Al-Nasr ya Dubai baada ya awali kuchezea Yanga na Pan Africans za Dar es Salaam.
'Absence of data' in CPI report flashes yellow for further interest rate
cuts
-
The first fresh inflation reading since the government shutdown showed
prices unexpectedly eased in November, though the report may not
immediately change ...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment