• HABARI MPYA

        Tuesday, August 25, 2020

        AZAM FC YAWAONGEZEA MIKATABA MAKOCHA WAKE WOTE WATATU KILA MMOJA APEWA MWAKA MMOJA ZAIDI KUENDELEA NA KAZI CHAMAZI

        Kocha Mkuu wa Azam FC, Mromania Aristica Cioaba, akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea na kazi katika klabu hiyo mbele ya Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat
        Kocha Msaidizi, Mrundi Bahati Vivier akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea na kazi katika klabu hiyo mbele ya Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat
        Kocha wa wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Costel Birsan akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea na kazi katika klabu hiyo mbele ya Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AZAM FC YAWAONGEZEA MIKATABA MAKOCHA WAKE WOTE WATATU KILA MMOJA APEWA MWAKA MMOJA ZAIDI KUENDELEA NA KAZI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry