Toby Alderweireld akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 81 ikiwalaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Arsenal ilitangulia kwa bao la Alexandre Lacazette dakika ya 16, kabla ya Son Heung-Min kuisawazishia Tottenham dakika ya 19 na kwa ushindi huo, Spurs inafikisha pointi 52 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya nane, sasa ikiwazidi The Gunners pointi mbili baada ya timu zote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jason Day: 'Gutted' Aussie golfer who was in the box seat to challenge Rory
McIlroy at the Masters pinpoints where it all went wrong
-
Jason Day finished tied for eighth at the Masters, delivering his best
result at the tournament in six years, but was left frustrated after missed
putts an...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment