Raheem Sterling usiku wa jana amefunga mabao mawili dakika za 31 na 40 Manchester City ikiichapa Watford 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, mabao mengine yakifungwa na Phil Foden dakika ya 63 na Aymeric Laporte dakika ya 66 Uwanja wa Vicarage Road. Man City inafikisha pointi 78 baada ya ushindi huo kwenye mchezo wa 37, ingawa inabaki nafasi ya pilo nyuma ya mabingwa tayari, Liverpool wenye pointi 93 za mechi 36, wakati Watford inayobaki na pointi zake 34 baada ya mechi 37 pia, inashuka kwa nafasi moja hadi ya 18 sasa ikiwa hatarini zaidi kushuka daraja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy 'set to be handed a KNIGHTHOOD' after ending 11-year major
drought and competing career Grand Slam with Masters triumph
-
Rory McIlroy is in line to be knighted after clinching the career Grand
Slam following his dramatic triumph at the Masters , according to a report.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment