Wadhamini wakuu wa klabu ya Simba SC, Sport Pesa Tanzania wakiwakabidhi mfano wa hundi ya Shilingi Milioni 100, Nahodha wa klabu hiyo, John Raphael Bocco baada ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa mara ya tatu mfululzo. Fedha hizo zimetolewa kama sehemu ya makubaliano ya mkataba wa udhamini uliosainiwa mwaka 2017
Footy star Alex McKinnon takes a huge and very public step in his love life
just after his ex Teigan Power announced she's having a baby with her new
partner
-
McKinnon split up with his ex-wife Teigan Power in early 2022, then went
public with his romance with Lily Malone in March last year. Now their
relationshi...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment