Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus, yote kwa penalti dakika za 55 na 90 ikilazimishwa sare ya 2-2 na Atalanta ambayo mabao yake yalifungwa na Daniel Zapata dakika ya 16 na Ruslan Malinovskiy dakika ya 80 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijini Torino. Pamoja na sare hiyo, Juventus inaendelea kuongoza Serie A kwa pointi zake 76, ikifuatiwa na Lazio 68 na Atalanta 67 baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Alex McKinnon takes a huge and very public step in his love life
just after his ex Teigan Power announced she's having a baby with her new
partner
-
McKinnon split up with his ex-wife Teigan Power in early 2022, then went
public with his romance with Lily Malone in March last year. Now their
relationshi...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment