Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa 2-0 dhidi ya Deportivo Alaves, mabao ya Karim Benzema dakika ya 11 kwa penalti baada ya Ximo Navarro kumchezea rafu Ferland Mendy na Marco Asensio dakika ya 50 kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 80 na kuendelea kuongoza La Liga, ikiwazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Alex McKinnon takes a huge and very public step in his love life
just after his ex Teigan Power announced she's having a baby with her new
partner
-
McKinnon split up with his ex-wife Teigan Power in early 2022, then went
public with his romance with Lily Malone in March last year. Now their
relationshi...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment