Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa 2-1 na Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou, hivyo kuvuliwa rasmi ubingwa kufuatia wapinzani wao, Real Madrid kushinda 2-1 dhdi ya Villarreal. Mabao ya Osasuna leo yamefungwa na Jose Arnaiz dakika ya 15 na Roberto Torres dakika ya 90 na ushei, wakati Messi alifunga la Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronnie O'Sullivan opens up on past regrets, hopes for the future and
winning an elusive eighth world title at the Crucible - as he insists 'I'm
not ready to quit yet!'
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY DAVID COVERDALE: As he takes a drag from his
cigarette, O'Sullivan issues a health warning to young snooker fans. Only
it is not smo...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment