David McGoldrick akipongezwa na wachezaji wenzake wa Sheffield United baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 na 77 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Chelsea, bao lingine likifungwa na Oli McBurnie dakika ya 33 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane. Kwa ushindi huo, Sheffield United inafikisha pointi 54 baada ya kucheza mechi 35 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya sita, ikiwazidi pointi mbili Wolverhampton Wanderers, wakati Chelsea inabaki nafasi ya tatu na pointi zake 60 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star Alex McKinnon takes a huge and very public step in his love life
just after his ex Teigan Power announced she's having a baby with her new
partner
-
McKinnon split up with his ex-wife Teigan Power in early 2022, then went
public with his romance with Lily Malone in March last year. Now their
relationshi...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment