Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. James' Park. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na beki Mholanzi Virgil van Dijk dakika ya 38 na mshambuliaji Mbelgiji Divock Origi dakika ya 59 na kwa ushindi huo mabingwa hao wanamaliza na pointi 99 wakiwazidi pointi 18 Manchester City waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans left perplexed as Luka Modric becomes minority owner at mid-table
Championship club
-
Luka Modric is set to become the minority owner of a Championship
club while continuing his playing career at Real Madrid, according to a
sensational report.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment