Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest vs Everton - Premier League: Live score, team news and
updates as Nuno Espirito Santo's side look to bounce back from Villa loss
plus updates from the other 3pm games
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
from Premier League for Nottingham Forest vs Everton, Southampton vs Aston
Villa ...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment