Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Manchester United usiku wa leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la FA England Uwanja wa Wembley, London. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Olivier Giroud dakika ya 45 na ushei, Mason Mount dakika ya 46 na Harry Maguire aliyejifunga dakika ya 74, wakati la Manchester United limefungwa na Bruno Fernandes kwa penalti dakika ya 85 na sasa The Blues itakutana na Arsenal kwenye fainali Agosti 1, hapo hapo Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy in line to be awarded freedom of his hometown after thrilling
Masters victory completed career Grand Slam
-
EXCLUSIVE: councillors back in Northern Ireland will hold talks on Monday
night over how to mark McIlroy's historic achievement.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment