Kinda wa England, Mason Mount akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea kabla ya Olivier Giroud kufunga la pili, yote katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza The Blues wakiichapa 2-0 Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Chelsea inafikisha pointi 66 na kumaliza nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Manchester Cty iliyomaliza nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Premier League's staggering £409m agents' bill broken down...
with Man United third on the list and one club paying £60m
-
Figures released by the FA on Monday show the 20 top-flight clubs spent a
staggering combined total of £409.1m on fees, although the figure is down
£0.4m f...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment