Kiungo wa Simba SC, Ibrahim Ajibu akimiliki mpira katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Transit Camp leo asubuhi Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Simba SC imeshinda 4-0 mabao yake yakitiwa nyavuni na Ajibu dakika ya 16, kiungo Mbrazil Gerson Fraga 'Viera' mawili dakika ya 31 na 45 na Cyprian John dakika ya 86
Alcaraz announces shock split with coach Ferrero
-
Six-time major champion Carlos Alcaraz splits with his coach Juan Carlos
Ferrero in a shock move.
27 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment