SIMBA SC WAWASILI MBEYA AJILI YA MECHI MBILI MFULULIZO DHIDI YA MBEYA CITY NA TANZANIA PRISONS
Nahodha wa Simba John Raphael Bocco baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili Jijini Mbeya kwa ndege mapema leo tayari kwa mechi zake mbili mfululizo za Ligi Kuu dhidi ya wenyeji, Mbeya City Jumatano na Tanzania Prisons Jumapili Uwanja wa Sokoine.
Kiungo Jonas Mkude ameongozana na timu kwa ajili ya mechi hizo mbili mfululizo za Ligi Kuu
Kikosi cha Simba kikiwa Uwanja wa Ndege wa Mbeya baada ya kuwasili kwa ajili ya mechi dhidi ya wenyeji
Item Reviewed: SIMBA SC WAWASILI MBEYA AJILI YA MECHI MBILI MFULULIZO DHIDI YA MBEYA CITY NA TANZANIA PRISONS
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
McIlroy wins Sports Personality of the Year 2025
-
Rory McIlroy is crowned BBC Sports Personality of the Year for 2025 after
clinching the career Grand Slam and playing a key role in Europe's Ryder
Cup win.
NHL Power Rankings: Every team's biggest wish
-
A No. 1 goalie? Another top-nine forward? Each NHL team could use a granted
wish to improve during the holiday season, even those at the top.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment