Lionel Messi akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao la nne dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Mallorca kwenye mchezo wa LaLiga usiku wa jana Uwanja wa Iberostar. Mabao mengine ya Barcelona yamefungwa na Arturo Vidal dakika ya pili, M. Braithwaite dakika ya 37 na Jordi Alba dakika ya 79 na sasa Barca inafikisha pointi 61 katika mchezo wa 28 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Real Madrid ambayo leo inamenyana na Eibar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cody Gakpo urges 'special' Mohamed Salah to stay at Liverpool beyond this
season and insists the Reds are 'very lucky to have him' - with talisman's
contract expiring in the summer
-
Once again Salah has been instrumental to their success, and he recently
became the first Premier League player to have double figures in goals and
assists...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment