Mgeni rasmi, Mkuu wa Jeshi la Magereza mkoani Kagera, William Mtunguja akiwasabahi marefa, Salum Chama wa Kagera (wa pili kushoto), Nassor Hamdoun wa Kigoma (kulia) na James Kashaija wa Kagera (katikati yao) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kati ya wenyeji, Kagera Stars na Ushirika ya Moshi mwaka 1993 Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Mwingine kushoto ni Nahodha wa Ushirika, Willy Martin.
Tinubu urged to enforce 2018 Disability Protection Act
-
From Okwe Obi, Abuja President Bola Tinubu has been implored to implement
the Discrimination Against Persons with Disabilities (Prohibition) Act,
2018. T...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment