Kocha Mbelgiji wa Yanga SC, Luc Eymael (katikati) akiwa na mkewe mpya, wa tatu (kushoto) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo mchana kuungana na timu yake kwa ajili ya kumalizia msimu na kesho atasafiri kwa ndege kukifuata kikosi Shinyanga tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Jumamosi Uwanja wa Kambarage
Eid-el-Fitr: Zamfara Governor preaches unity, peace
-
From Agaju Madugba, Katsina Governor Dauda Lawal has appealed to the people
of Zamfara State to continue to embrace unity and peace as well as reflect
de...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment