Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cooper Flagg and Duke punch their ticket to March Madness Final Four in
85-65 demolition of Alabama
-
JAKE FENNER IN NEWARK, NEW JERSEY: Sorry, America. They're good again. They
really are just that good again. Duke is off to the Final Four for the 18th
tim...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment