Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Absence of data' in CPI report flashes yellow for further interest rate
cuts
-
The first fresh inflation reading since the government shutdown showed
prices unexpectedly eased in November, though the report may not
immediately change ...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment