
Tuesday, June 30, 2020

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM VIGOGO, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu ...
Monday, June 29, 2020
MAN CITY NA ARSENAL, MAN U NA CHELSEA NUSU FAINALI FA
Monday, June 29, 2020
Raheem Sterling akiifungia bao la pili Manchester City dakika ya 68 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya 37 katika ushind...
DANI CEBALLOS AIPELEKA ARSENAL NUSU FAINALI KOMBE LA FA ENGLAND
Monday, June 29, 2020
Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana U...
REAL MADRID YAICHAPA ESPANYOL 1-0 NA KUPAA KILELENI LA LIGA
Monday, June 29, 2020
Kiungo Mbrazil, Carlos Henrique Casemiro akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 45 akimalizia pasi ya ...
Sunday, June 28, 2020
ROSS BARKLEY AIPELEKA CHELSEA NUSU FAINALI KOMBE LA FA ENGLAND
Sunday, June 28, 2020
Ross Barkley akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 63 ikiwalaza wenyeji, Leicester City 1-0 Uwanja wa King Power na...
TANZANIA PRISONS 0-0 SIMBA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Sunday, June 28, 2020
SIMBA SC YATWAA TAJI LA TATU MFULULIZO LIGI KUU BAADA YA SARE YA 0-0 NA PRISONS SOKOINE
Sunday, June 28, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM SIMBA SC wamefanikiwa kutwaa taji la tatu mfululizo la ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya sare...
YANGA SC 3-2 NDANDA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Sunday, June 28, 2020
Saturday, June 27, 2020
SUAREZ APIGA ZOTE MBILI LAKINI BARCA YAAMBULIA SARE 2-2 KWA CELTA VIGO
Saturday, June 27, 2020
Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 20 kabla ya kufunga la pili dakika ya 67, Barcelona ikilazi...
HARRY MAGUIRE AIPELEKA MANCHESTR UNITED NUSU FAINALI KOMBE LA FA
Saturday, June 27, 2020
Harry Maguire akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 118 ikiwalaza wenyeji, Norwich 2-1 kati...
SAMATTA ACHEZA MECHI YOTE ASTON VILLA YACHAPWA 1-0 NA WOLVERHAMPTON WANDERERS NYUMBANI
Saturday, June 27, 2020
Na Mwandishi Wetu, Birmingham MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo amecheza kwa dakika zote timu yake, Aston Vil...
SERIKALI YARUHUSU MASHABIKI KUINGIA KWENYE MECHI YA PRISONS NA SIMBA SC KESHO SOKOINE
Saturday, June 27, 2020
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeruhusu mashabiki kuingia katika mchezo w...
YANGA SC YATOKA NYUMA YAWACHAPA NDANDA 3-2 TAIFA NA KUREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU
Saturday, June 27, 2020
Na Mwandshi Wetu, DAR ES SALAAM VIGOGO Yanga SC wametokea nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Ndanda SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania B...
YANGA SC 2-2 NAMUNGO FC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Saturday, June 27, 2020
RONALDO NA DYBALA, WAFUNGA JUVENTUS YASHINDA 4-0 SERIE A
Saturday, June 27, 2020
Cristiano Ronaldo na Paulo Dybala wakishangilia baada ya Juventus kupata bao la kwanza katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Lecce kwenye mchezo...
Friday, June 26, 2020
LAMINE MORO AFUNGIWA MECHI TATU NA FAINI SH 500,000 KWA KUMPIGA TEKE MWINYI KAZIMOTO
Friday, June 26, 2020
Na Mwandshi Wetu, DAR E SAALAM BEKI wa Yanga SC, Lamine Moro amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya Sh. 500,000 kwa kosa la kumkanyaga ...
SERIKALI YAZUIA MASHABIKI KUINGIA MECHI ZA SIMBA NA YANGA MIKOANI, MBEYA CITY YAKIONA CHA MOTO
Friday, June 26, 2020
Na Mwandshi Wetu, DAR E SAALAM SERIKALI imeizuia Mbeya City kucheza na mashabiki katika uwanja wake wa nyumbani wa Sokoine Jijini Mbeya, i...
MASHABIKI LIVERPOOL WAMWAGIKA MITAANI KUSHEREHEKEA UBINGWA
Friday, June 26, 2020
Mashabiki wa Liverpool wakishangilia nje ya Uwanja wa Anfield baada ya taarifa za kutwaa taji la kwanza la ubingwa wa Ligi Kuu ya England...
ARSENAL YAICHAPA SOUTHAMTON 2-0 NA KUPANDA NAFASI YA TISA
Friday, June 26, 2020
Mshambuliaji Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal dakika ya 20 kabla ya Joe Willock kufunga la pili dakika ya 86 katika ...
CHELSEA WAIPIGA MAN CITY 2-1 NA KUIPA UBINGWA LIVERPOOL
Friday, June 26, 2020
Willian akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili kwa penalti dakika ya 78 ikiilaza Manchester City 2-1 kwenye mchezo...
Thursday, June 25, 2020
REAL MADRID YAREJEA KILELENI BAADA YA KUICHAPA MALLORCA 2-0
Thursday, June 25, 2020
Mshambuliaiji chipukizi, Vinicius Junior akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 19 kabla ya mkongwe, Sergio Ramos kufunga ...
SAMATTA ACHEZA HADI MWISHO ASTON VILLA YATOA SARE YA 1-1 NA NEWCASTLE ST. JAMES' PARK
Thursday, June 25, 2020
Na Mwandshi Wetu, NEWCASTLE MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana amecheza muda wote, Aston Villa ikitoa sare ya...
MARTIAL APIGA HAT TRICK MAN UNITED YAICHAPA SHEFFIELD 3-0
Thursday, June 25, 2020
Anthony Martial akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za saba, 44 na 74 hiyo ikiwa hat trick yake ya kwanza kihistoria katika...
LIVERPOOL YAICHAPA CRYSTAL PALACE 4-0 NA KUUKARIBIA UBINGWA ENGLAND
Thursday, June 25, 2020
Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la nne dakika ya 69 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo ...
Wednesday, June 24, 2020
MBEYA CITY 0-2 SIMBA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)
Wednesday, June 24, 2020
MOLINGA ATOKEA BENCHI NA KUPIGA MBILI KUINUSURU YANGA SC KUPIGWA NA NAMUNGO TAIFA
Wednesday, June 24, 2020
Na Mwandishi Wetu, MBEYA VIGOGO, Yanga SC wameponea chupuchupu kuchapwa nyumbani na Namungo FC baada ya kulazimisha sare ya 2-2 katika mch...
SIMBA SC WAANZA KUNUKIA UBINGWA WA TATU MFULULIZO BAADA YA KUIPIGA MBEYA CITY 2-0 SOKOINE
Wednesday, June 24, 2020
Na Mwandishi Wetu, MBEYA SIMBA SC wamezidi kujisogeza jirani na taji la tatu mfululizo la ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya us...
YANGA YAMKATA MORRISON MSHAHARA SH. MILIONI 1.5 KWA KUZUNGUMZA NA CHOMBO CHA HABARI
Wednesday, June 24, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imesema itamkata Shilingi Milioni 1.5 kwenye mshahara wake wa Juni, winga wake Mghana, Ber...
BARCELONA YAREJEA KILELENI LA LIGA BAADA YA KUIPIGA BILBAO 1-0
Wednesday, June 24, 2020
Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa...
Tuesday, June 23, 2020
MTIBWA SUGAR YAWATANDIKA SINGIDA UNITED 3-1, TANZANA PRISONS NA JKT TANZANIA ZATOKA SARE
Tuesday, June 23, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM TIMU ya Mtibwa Sugar imepata ushindi wa ugenini wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Singida United jioni ya leo kati...
AZAM FC WALIVYOWASILI MJINI BUKOBA LEO KWA NDEGE MAALUM TAYARI KUIVAA KAGERA SUGAR KESHO KAITABA
Tuesday, June 23, 2020
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akiteremka kwenye ndege baada ya kikosi cha timu hiyo kuwasili mjini Bukoba asubuhi ya leo tayari kwa m...
SIMBA SC WAKIFANYA MAZOEZI JIJINI MBEYA KUJIANDAA NA MCHEZO WA LIGI KUU KESHO DHIDI YA MBEYA CITY
Tuesday, June 23, 2020
Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi mazoezi leo Jijini Mbeya kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji,...
RONALDO AFUNGA KWA PENALTI JUVENTUS IKIICHAPA BOLOGNA 2-0
Tuesday, June 23, 2020
Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 23 Juventus ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Bologn...
MAHREZ APIGA MBILI MAN CITY YAICHAPA BURNLEY 5-0
Tuesday, June 23, 2020
Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 43 akimalizia pasi ya Fernandinho na 45 na ushei kwa ...
Monday, June 22, 2020
UONGOZI WA YANGA SC WASIKITISHWA NA MASHABIKI WANAOWAZOMEA WACHEZAJI NA KUPIGANA
Monday, June 22, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imesikitishwa na vitendo vinavyoshamiri vinavyofanywa na baadhi ya mashabiki kwa kuzomea n...
AZAM FC YALALAMIKA KUNYIMWA MABAO MAWILI NA PENALTI DHIDI YA YANGA JANA TAIFA
Monday, June 22, 2020
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM UONGOZI wa klabu ya Azam FC umesema kwamba haujaridhishwa na maamuzi ya waamuzi wa mchezo wao wa Ligi Ku...
Subscribe to:
Posts (Atom)