Wachezaji wa Coastal Union ya Tanga kutoka kushoto kipa Mwameja Mohamed, beki Yassin Abuu Napili na kiungo Kassa Mussa wakiwa na marefa Army Santamea (sasa Mchungaji) na Omar Juma (sasa marehemu) wote wa Mwanza kabla ya mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1988 dhidi ya wenyeji, Pamba SC Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Coastal Union ilishinda 1-0 na kujisafishia njia ya ubingwa wao pekee wa ligi hiyo msimu huo.
Akpabio: NASS committed to quality education at EKSU convocation
-
Hails EKSU’s giant strides as varsity confers honorary degrees on Senate
Leader, two others at 29th convocation ceremony From Priscilla Ediare,
Ado-Ekiti...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment