WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais), akisalimiana na winga wa Taifa Stars, Said Maulid Kalikula ‘SMG’ kabla ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya Mei 18, mwaka 2002 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Harambee Stars ilishinda 5-0 na wengine kutoka kulia ni beki John Mwansasu na kiungo Shekhan Rashid wakati kushoto ni kiungo Shaaban Ramadhani na mshambuliaji Nteze John.
Scotland skip Bruce Mouat makes dream come true by clinching world curling
title in final-stone drama
-
Scotland skip Bruce Mouat savoured his dream ending to the World
Championships after clinching glory with his final stone.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment