Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
We have to remember England are world's best - Lynn
-
While Wales were encouraged by their showing in Scotland, their 11-try
mauling by England was a timely reminder of just how much they need to
improve.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment