Kiungo wa timu ya wanaume ya Yanga SC, Mnyarwanda Haruna Niyonzima akiwa na beki wa timu ya wanawake ya Simba SC, Fatuma Issa 'Densa' mazoezini ufukweni mwa Bahari ya Hindi, Dar es Salaam kipindi hiki klabu zao zimesitisha mazoezi ya vikosi vyake baada ya zuio la Serikali kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment