Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
FA Cup Draw Live: Latest news and updates as Premier League sides wait to
learn their semi-final opponents
-
Follow Mail Sport's live blog of the FA Cup semi-final round draw as the
clubs edge closer and closer to a day out at Wembley.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment