Wachezaji wa Yanga wakiwa kwenye duka la vifaa vya michezo la mdhamini wao, GSM lililopo Mlimani City Jijini Dar es Salaam, ambako walitembelea asubuhi ya leo na kupewa vifaa vya kuwasaidia kufanyia mazoezi nyumbani kipindi hiki klabu yao imesitisha mazoezi ya pamoja kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Security guard tackles cricket fan trying to steal stump after Sheffield
Shield final
-
An overzealous cricket fan was tackled to the ground by security on
Saturday at the Sheffield Shield final after he tried to steal a cricket
stump.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment