Kipa wa pili wa Simba SC, Beno David Kakolanya akiwa ametulia nyumbani kwake, Mwanjelwa mkoani Mbeya kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa COVID19. Kakolanya amekaririwa akisema anafurahia maisha Simba SC kutokana na namna anavyopewa ushirikiano na viongozi wa klabu hiyo
Security guard tackles cricket fan trying to steal stump after Sheffield
Shield final
-
An overzealous cricket fan was tackled to the ground by security on
Saturday at the Sheffield Shield final after he tried to steal a cricket
stump.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment