• HABARI MPYA

        Friday, February 14, 2020

        UKARABATI AZAM COMPLEX WAENDELEA VIZURI NA UWANJA UTAKUWA TAYARI KWA MATUMIZI TENA MWEZI UJAO

        ZOEZI la marekebisho ya Uwanja wa Azam Complex, uliopo Mbade, Chamazi Jijini Dar es Salaam ambao hutumiwa na klabu ya Azam FC linaendelea vizuri, likiwa limefikia katika hatua za mwishoni.


        Kwa sasa wafanyakazi wanaweka plastiki maalumu la kunyonya maji likiwa na njia za kuteremsha hadi katika mtaro na kwa ujumla zoezi hilo zima linatarajiwa kukamilika katikati ya mwezi ujao.

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: UKARABATI AZAM COMPLEX WAENDELEA VIZURI NA UWANJA UTAKUWA TAYARI KWA MATUMIZI TENA MWEZI UJAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry